“ELIMU NI DHAMANA”


JOINING INSTRUCTION - SENGEREMA SECONDARY SCHOOL

Wednesday, July 12, 2017

SENGEREMA SECONDARY SCHOOL COUNTER BOOKS & NOTE-BOOKS



Kuanzia Tarehe 16/07/2017, Dafutari zenye nembo, majemgo na tovuti ya shule kwa ajili ya wanafunzi wite na walimu zipatika kwenye Duka la shule kwa Gharama zifuatazo

1.  Counter Book 3 Quire   35,000/=
2.  CounterBook 2 Quire    25,000/=
3.  Note book (200 pgs)      25,000/=

Aidha, mwanfunzi ataruhusiwa pia kutumia daftari za kawaida japo inashauliwa kutumia za shule kutokana na gharama kuwa sawa na zile zile za kawaida.
Share:

1 comment:

  1. Nauliza fomu za kidato cha tano zimeshaandaliwa mwaka 2020/2021 kwa maana tunahitaji kujua mahitaji mapema,ahsanteni

    ReplyDelete